Inicio > Términos > Suajili (SW) > Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Ni eneo linalotambuliwa na Shirika la Elimu,Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Taifa kama sehemu yenye thamani maalum ya kitamaduni. Linaweza kuwa msitu, mlima, ziwa, jangwa, mjengo, au mji mkubwa Orodha linatengenezwa na programu ya urithi wa dunia inayoendeshwa na kikundi cha Urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utamaduni la Umoja wa Mataifa. Mwaka wa 1872, Kuna maeneo mia tisa sitini na mawili ambayo ni maeneo ya urithi wa dunia ambayo yako katika nchi mia moja hamsini na saba Kwa hayo, mia saba arobaini na tano ni ya kitanmaduni, mia moja themanini na nane ni ya kiasili na ishirini na tisa ni mchanganyiko.

0
  • Parte del discurso: nombre propio
  • Sinónimo(s)
  • Blosario
  • Industria/ámbito: Cultura
  • Categoría: Personas
  • Company:
  • Producto:
  • Acrónimo-Abreviatura:
Agregar a Mi Glosario

Comentarios de otros usuarios

Debe iniciar sesión para participar en los debates.

Términos en las noticias

Temas relacionados

edithrono
  • 0

    Términos

  • 0

    Blosarios

  • 1

    Seguidores

Industria/ámbito: Festivales Categoría:

Eid al-fitr

Sikukuu ya Waislamu wakuthibitisha mwisho wa Ramadan, Waislamu hawasherehekei mwisho wa kufunga peke yake bali pia kumshukuru Mungu kwa usaidizi na ...