Inicio > Términos > Suajili (SW) > huduma

huduma

huduma au kazi ya utakaso inayofanywa kwa mahubiri ya neno na maadhimisho ya sakramenti na wale wa Daraja (893, 1536), au katika hali ya kuamua, kwa walei (903). Agano Jipya linazungumzia aina za huduma katika Kanisa; Kristo mwenyewe ndiye chanzo cha huduma katika kanisa (873-874). Maaskofu, makuhani, na mashemasi wametakaswa kuwa wahudumu katika Kanisa (1548).

0
Agregar a Mi Glosario

Comentarios de otros usuarios

Debe iniciar sesión para participar en los debates.

Términos en las noticias

Temas relacionados

ongaka yusuf walela
  • 0

    Términos

  • 1

    Blosarios

  • 0

    Seguidores

Industria/ámbito: Idioma Categoría: Gramática

lugha tenganishi

lugha tenganishi inaunda lugha za mofimu moja (yaani, kwa mzizi bila udogo) huwa zinatumia maneno fupi pale ambapo lugha nyingine inatumia neno moja ...